ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, September 23, 2017

GHOROFA MAARUFU MWANZA LABOMOLEWA KUPISHA UPANUZI WA BARABARA YA MAKONGORO

Mchakato wa kubomoa ghorofa Al-maarufu 'Ghorofa la Madaraka' lililoko barabara ya Makongoro, Misheni jijini Mwanza  unaendelea muda huu ikiwa ni siku ya pili tangu kuanza kwa shughuli hiyo jana, huku ulinzi ukiwa umehimarishwa vilivyo.

Pichani. hali ilivyokuwa mapema jana. 
Mmiliki wa awali wa Ghorofa hili anaitwa Madaraka na wala si Madaraka Nyerere

Ila kiukweli Ghorofa hilo lina Historia kubwa sana ktk jiji la Mwanza kwani limeweza kukwepa misukosuko ya mabonde na vizingiti vingi vya kubomolewa takriban miaka 22 sasa, ikiwa ni sanjari na ile ya kubomolewa kwa kituo cha mafuta Moil Mwanza kunako mwaka 2009.
 

Hatimaye Andiko limetimia.
BOFYA PLAY KUSIKIA KILICHOJIRI.






Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.