ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, July 16, 2017

SAMATTA ALIVYOWANYANYASA MABEKI WA AJAX JANA, ATUPIA MOJA.

 Mshambuliaji wa KRC Genk, Mtanzania, Mbwana Samatta akiwatoka wachezaji wa Ajax katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na msimu jana Uwanja wa mazoezi wa The Ajax Future timu hizo zikitoka sare ya 3-3.

 Mbwana Samatta akiwatoka wachezaji wa Ajax timu hizo zikitoka sare ya 3-3 jana

Mbwana Samatta alifunga bao moja jana katika sare hiyo

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.