ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, June 16, 2017

JANJA JANJA SOKO LA MIGOMBANI SENGEREMA

Wafanyabiashara  wa vitunguu katika soko la Migombani katika halmashauri ya Sengerema  mkoani Mwanza , wamelalamikia kuwepo kwa watu kujitokeza na kuwatishia  kuwafukuza katika maeneo waliopewa kufanyia biashara wakidai kuwa maeneo hayo yamepangwa kaajili ya shughuli nyingine, huku watu hao wakijichukulia mali na fedha kwa baadhi ya wafanyabiashara hao ili kuwabakiza sokoni hapo.

Jembe Fm imekuwa mkombozi kwa kulifukunyua hilo kwa kuliweka hadharani ambapo sanjari na kuzungumza na wafanyabiashara wa soko hilo pia imefanikiwa kuongea na wenyekiti wa soko. YAPI YAMEJIRI TUJIUNGE NA MWAKILISHI WETU OSCAR MWANA WA KAHUKA LIVE TOKA SENGEREMA... (SAUTI KUWAJIA HIVI PUNDE)

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.