ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, April 7, 2017

AFUNGWA MIKONO NA MIGUU KWENYE BAISKELI KISHA ATOSWA ZIWA VICTORIA.

Wakati familia kadhaa za watanzania zikiendelea kupoteza ndugu zao bila kujulikana walipo, leo huko mkoani Mara katika ufukwe wa ziwa Victoria imeokotwa maiti ya mtu mmoja asiyefahamika ikiwa imetupwa ziwani.

Mazingira ya kifo chake yanaonesha mtu huyo mwanaume aliuawa, akafungwa kama kifurushi kwenye baiskeli, kisha yeye na baiskeli yake wakatoswa ziwani. Hapa ndipo tulipofika kama taifa.! TAHADHARI: Picha zinaweza kusababisha usumbufu kisaikolojia maana ni za kuogofya.


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.