ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, February 3, 2017

NI CAMEROON SASA USO KWA USO KWENYE FAINALI DHIDI YA EIGYPT

Dakika ya 72 Michael Ngadeu-Ngadjui anafungua milango migumu ya Ghana kwa kuiandikia Cameroon bao la kwanza.
Cameroon wataumana na Misri katika fainali ya kombe la mataifa ya Afrika 2017 baada ya magoli mawili ya kipindi cha pili kuiondosha Ghana katika mashindano hayo.
Timu zote mbili zilicheza mchezo wa kuvutia huku ikishuhudiwa kipindi cha kwanza zikimaliza kwa sare ya bila kufungana.

Kipindi cha pili kilianza kwa kasi ambapo milango ya kila timu iliendelea kuwa migumu mpaka dakika ya 72 Michael Ngadeu-Ngadjui alipofunga goli la kwanza kwa Cameroon.
Zikiwa zimesalia sekunde chache huku Ghana wakijaribu kusawazisha Christian Bassogog alifunga goli la pili na kuzamisha kabisa matumaini ya Ghana kwa mwaka huu.
Matumanini ya Ghana kuchukua kikombe hicho ambacho kwa mara ya mwisho walikibeba mwaka 1982 sasa yamefikia mwisho katika michuano ya mwaka huu.
Mara ya mwisho kwa Cameroon kuingia fainali ilikuwa mwaka 2008 walipofungwa na Misri ambao ndio wanakutana nao tena katika fainali ya mwaka huu.
"It is a real dream for us to get to the final," said the Belgian coach.
"Ghana have more experience than us - look at what they have done in recent tournaments. But since the start of this tournament we have shown we keep going right to the end in every game.
"I am very happy, especially for the team. They are an exemplary group on and off the field and they deserve to be in the final."
Cameroon have won the competition on four previous occasions

Their build-up to the match was clouded by a dispute between the team and the national association over pay, but on Gabon's Franceville stadium pitch their focus rarely wavered from the task in hand.
Cameroon defended brilliantly, nullifying the threat of Andre Ayew and brother Jordan - and, later on, substitute Asamoah Gyan.
They also caused Ghana several problems at the other end.
Slavia Prague defender Ngadeu-Ngadjui was both a rock in defence and a menace on set-pieces in attack, highlighted when he fired in from the angle to give his side the lead.
A free-kick was swung into the area and both Ghana defender John Boye and keeper Razah Brimah flapped at the delivery, allowing Ngadeu-Ngadjui to thrash home.
As Ghana, coached by former Chelsea boss Avram Grant, searched for the equaliser they left space at the back, which was exploited in the third minute of stoppage time when Aalborg forward Bassogog sprinted into the area and poked in past the reach of Razak.
"I am more than unhappy. We wanted so much to be in the final," said Grant.
"We did everything to be there and in the second half we completely dominated. Congratulations to Cameroon of course but we were the better side and we lost."
The Black Stars will meet Burkina Faso in Saturday's third place play-off in Port Gentil.

CHANZO: BBC

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.