ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, January 6, 2017

HUYU NDIYE MCHEZAJI BORA WA AFRIKA MWAKA 2016

Shirikisho la soka barani Afrika Caf, January 5 2017 Abuja Nigeria ilifanyika hafla ya utolewaji wa tuzo za soka za mwaka 2016 na tuzo hizo utolewa kwa wachezaji waliyofanya vizuri kwa mwaka husika kwa kupigiwa kura.
Mchezaji wa timu ya taifa ya Algeria na timu ya Leicester City ya England Riyad Mahrez alitangazwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora Afrika.
 Mahrez ambaye alipata kura 361, huku Pierre-Emerick Aubameyang akishika nafasi ya pili kwa kupata kura 313 wakati Sadio Mane wa Liverpool amemaliza nafasi ya tatu kwa kupata kura 186.






Mahrez mwenye miaka 25, aliisaidia tumu yake Leicester kushinda taji la ligi kuu soka England msimu uliopita, tiyari ameshinda tuzo ya mcehzaji bora wa England sambamba na mchezaji bora wa BBC Afrika.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.