Matukio maarufu ya mvutano katika msikiti wa Al-Aqsa
-
Kwa miaka mingi, polisi wa Israel wamehusika katika maamuzi ya kufunga na
kufungua milango ya Msikiti na kuweka vikwazo
25 minutes ago
Bondia Idd Mkwela kushoto akipambana na Nassoro Madimba wakatiwa mpambano wao uliofanyika bagamoyo mkoa wa pwani Mkwela alishinda kwa K,O ya raundi ya pili ya mpambano uho. |
Bondia Idd Mkwela kushoto akipangua konde lililotupwa na Nassoro Madimba wakatiwa mpambano wao uliofanyika bagamoyo mkoa wa pwani Mkwela alishinda kwa K,O ya raundi ya pili ya mpambano uho. |
Refarii Said Chaku akimesabia bondia Nssoro Madimba baada ya kupokea konde zito kutoka kwa Idd Mkwela na kwenda chini. |
Bondia Kalama Nyilawila kushoto akipambana na Hussein Pendeza wakati wa mpambano wao uliofanyika bagamoyo Kalama alishinda kwa T.K.O ya raundi ya pili ya mchezo. |
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akiwa na bondia wake Idd Mkwela wakati wa mpambano wa bondia huyo uliofanyika Bagamoyo Mkoa wa Pwani. |
Mabondia Abdallah Pazi kushoto akitunishiana misuli na Kalama Nyilawila wakati alipokutanya Bagamoyo Mkoa wa pwani wakati wa mpambano wa Idd Mkwela na Nassoro Madimba wa Bagamoyo. |