ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, October 14, 2016

MAMBO YA ZIADA AMBAYO HUKUWAHI KUDHANI JUU YA MWL. JULIUS KAMBARAGE NYERERE.


Hivi unajua pale Butiama chakula cha mwisho alichovuna Mwl. Jk. Nyerere enzi za uhai wake bado kipo hadi sasa (miaka 17) na kimebaki kama kumbukumbu..............!? 


Jeh hivi unajua pamoja na baba wa Taifa kumiliki gari hakuwahi wala hakuthubutu kujifunza kuendesha gari....................................................................................................!?


Basi kijana aliyekuwa chipukizi wa mwisho kumvisha scarf kwenye mapokezi wilayani Bunda Enzi za utawala wake baada ya kung'atuka na kubakia kama Mwenyekiti wa CCM kijana Lawrenti Alphonce maarufu Jicho' atakwenda kusimulia mengi ikiwa ni pamoja na story ya....................................................................................


@prince_arn @mansourjumanne @gsengo #Mchepuko na mikito mikali ya djscopion #NyerereDAyDriveMIXspecial


BOFYA PLAY KUSIKILIZA.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.