ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, October 13, 2016

LIVERPOOL HAINA KITETE BALI IMARA KUIKARIBISHA MAN U DIMBA LA ANFIELD.


Golikipa wa Liverpool amefunguka kuwa timu yake haina hofu kwa mchezo ujao dhidi ya amahasimu wao katika Ligi kuu ya Uingereza . 
___________________
Manchester United na Liverpool watakutana uso kwa uso Jumatatu. Wakati golikipa wa Liverpool Loris Karius akisema kuwa haofii chochote na anacho zingatia ni kuhakikisha kuwa anacheza vyema vile anavyopaswa. __________________ Golikipa huyo raia wa Ujerumani ameiambia timu ya Wachambuzi wa Ligi ya Premium kuwa "Manchester United ni wazuri, wana timu imara lakini sisi tuna timu thabiti yenye nguvu na hasa ukizingatia tunachezea dimba la nyumbani" ____________________ Kisha akaongeza: "Tunawaheshimu lakini katu hawatupi hofu, tunachojua ni kushinda mchezo huo. #WeAreLiverpool #lfctz #Liverpoolfc #Anfield #YNWA @lorisk21
#SPORTSRIPOTI
Bibi na uzi wake.
Wanandoa naye Bwana Harusi katupia vazi lake kipenzi.
Nani kuibuka kidedea Jumatatu?

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.