ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, August 13, 2016

UWANJA WA NDEGE WA DODOMA RASMI UMEKAMILIKA.

Baada ya serikali kuamua kuamisha Makao Makuu ya Serikali kutoka Dar es Salaam na kuwa Dodoma tumeendelea kuona harakati hizo zikiendelea kwa kasi ya ajabu ambayo inaleta matumaini kuwa nikweli Serikali Imeamua Kuamishia Makao Mkuu Mjini Dodoma.

Kwa muda mfupi tu tangu Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa aamuru uwanja wa ndege wa Dodoma Utanuliwe ili uweze kukidhi, leo hii uwanja huo unaonekana tayari usha kamilika na muda sio mrefu uwanja huo utaanza kutumika rasmi..


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.