ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, June 10, 2016

SAFARI YANGU YA UTALII AFRIKA YA KUSINI PART ONE.

Tungali ndani ya chombo cha usafiri na mwenyeji wetu hapa Afrika ya kusini ni bibie Fezeka na kushoto kwake mbele yuko mke wangu mupenzi Oliver.
Mitaa ya wenzetu kuelekea Sunnyside nchini Afrika ya Kusini.
Yanayojiri barabarani.
Hii ni moja ya barabara kuelekea eneo la kihistoria nchini Afrika ya Kusini Union Buildings.
Gsengo at the area.
Niliambatana na my wife Oliver ikiwa ni safari ya mapumziko kuadhimisha miaka 10 ya ndoa yetu.
My Queen.
We.
Gsengo.
Here we come again.
Eneo hili la kihistoria hutumiwa pia na wenyeji pamoja na wageni katika zile picha za kumbukumbu kwa maharusi na mahafali mbalimbali.
Maharusi eneo la kihistoria 
Union Buildings.
Kinachoonekana juu ya mnara wa nyuma. 
The Union Buildings (AfrikaansDie Uniegebou) mahala hapa ndipo zilipo ofisi za viongozi wa taifa la Afrika ya Kusini na pia ofisi kuu ya Rais wa nchi hiyo. Mjengo huu uko Pretoria Pretoria, katika kilima cha kitongoji cha mji wa Meintjieskop katika ncha ya kaskazini ya Arcadia, karibu kabisa na kanisa la kihistoria linalojulikana kwa jina la Church Square.
Ni mnara wa sanamu ya Rais wa kwanza Mweusi mzalendo wa taifa la wana wa Afrika ya Kusini Nelson Mandela, mnara wenye urefu wa mita 9 ulioko Pretoria. 
Muonekano wa barabara na majengo ya ofisi pamoja na makazi ya watu kutoka kituo cha usafiri wa reli mji wa Sandton na Marlboro nchini Afrika ya Kusini.
Juu kiduchu.....
Treni ya mizigo.
Makazi ya watu.
Parking ni suala ambalo limezingatiwa kila mji.
Moja ya minara.
Safari kwa njia ya picha bado inaendelea hivyo endelea kutupia jicho lako hapa Gsengo blog kwa pix zaidi na zipate simulizi kupitia Kazi na Ngoma ya 93.7 Jembe Fm Mwanza hadi tutakapofika nyumbani kwa Nelson Mandela.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.