ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, June 17, 2016

HUU NI UCHAMBUZI WA HABARI ZA MAGAZETI YA LEO JUNE 17, 2016


Mjadala wa mikoa ya masikini yaligawa bunge, Majanga matano uzimaji simu feki na Askofu Gwajima sasa mkononi mwa Polisi na Manji aibeba Simba. Pata dondoo za magazeti ya leo hapa.


Polisi wapiga kambi ya saa 7 nyumbani kwa Gwajima. Seif asisitiza Serikali ya mapito Zanzibar, Lugumi kuwarejesha wapinzani Bungeni na Mangula aweka mambo hadharani.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.