ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, May 31, 2016

MADAKTARI WAPATA MAFUNZO YA KUREKEBISHA MIGUU ILIYOPINDA

 Daktari Bingwa wa Upasuaji wa Mifupa Dk.Richald Gellman  kutoka Califonia - San Fransisco Marekani (kushoto), akiwaonesha kifaa Chuma, maalumu kinacho tumika kufanya marekebisho ya mifupa iliyo pinda baada ya kuunga vibaya au kutounga kabisa,   madaktari  mbalimbali kutoka nchi mbalimbali , Kenya, Burundi, Rwanda, Zambia, DRC Congo, Nigeri, Zimbabwe na wenyeji wao Madaktari wa Taasisi hiyo  wamehudhuria Mkutano huo utakaomalizika Juni 3, 2016 , unaendelea katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mifupa ya Fahamu Muhimbili (MOI) 
Dar es Salaam leo. 
 Pichani ni baadhi ni vifaa
Vifaa mifano na mifananisho.
Vifaa mwili wa mwanadamu wakati mwingine ni kama motokaa.
Vifaa na vitendea kazi kwaajili ya tiba za mifupa.
Darasani zaidi.
 Madaktari Bingwa wakiwa katika chumba cha mikutano katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa Moi

Mmoja wa Maktari Bingwa wa Taasisi hiyo mwenye miwani mbele Dk. Moonlight Mnyenye akiandika jambo wakati wa mkutano huo. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.