ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, May 12, 2016

AIR MAURITIUS YAZINDUA SAFARI ZAKE NCHINI

Marubani wa Air Mauritius na Mabalozi wa Air Mauritius Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa uzinduzi maalumu wa ndege hiyo ilipowasili kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa Julius Nyerere Dar esSalaam. Ndege hiyo itakuwa ikifanya safari zake kila ijumaa ikitokea Mauritius kuja Dar nakurudi.
Marubani wa Air Mauritius na Mabalozi wa Air Mauritius Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa uzinduzi maalumu wa ndege hiyo ilipowasili kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa Julius Nyerere Dar esSalaam. Ndege hiyo itakuwa ikifanya safari zake kila ijumaa ikitokea Mauritius kuja Dar nakurudi.
Marubani wa  Air Mauritius, Wafanyakazi wa Air Mauritius na Mabalozi wa Air Mauritius Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa uzinduzi maalumu wa  ndege hiyo ilipowasili kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa Julius Nyerere Dar es Salaam. Ndege hiyo itakuwa ikifanya safari zake kila ijumaa ikitokea Mauritius kuja Dar nakurudi.
Marubani wa  Air Mauritius, Wafanyakazi wa Air Mauritius na Mabalozi wa Air Mauritius Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa uzinduzi maalumu wa  ndege hiyo ilipowasili kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa Julius Nyerere Dar es Salaam. Ndege hiyo itakuwa ikifanya safari zake kila ijumaa ikitokea Mauritius kuja Dar nakurudi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.