ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, April 29, 2016

NICO NJOHOLE NA RENATUS NJOHOLE WAWASILI DALLAS, MTANANGE WA SIMBA NA YANGA JUMAMOSI

Renatusi Njohole akiwa katika picha ya pamoja na kaka yake
 Benchi la ufundi la Yanga Bwn. Gerry Mshana(kulia) akipata picha ya kumbukumbu na Nico Njohole siku ya Alhamisi Dallas, Texas. Nico na Renatus wamekuja maalum kuhudhuria mkutano wa DICOTA na kuchezea Simba kwenye mtanange wa watani wa jadi.
  Kutoka kushoto ni Gerry Mshana, Mary Maswanya (dada mkubwa wa Nico na Renatus), Renatus, Nico na Rais wa DICOTA, Ndaga Mwakabuka walipopata picha ya kumbukumbu. 
 Rais wa DICOTA Bwn. Ndaga Mwakabuta akiwa katika picha ya pamoja Nico na Renatus
 Kutoka kushoto ni Jerry, Nico, Ndaga Mwakabuta, Renatus, na Gerry Mshana wakiwa kwenye picha ya pamoja

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.