ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, March 24, 2016

MAKAMUZI YA JJ BAND KATIKA USIKU WA BABA NA MWANA VILLA PARK JUMAMOSI HII TUNAHITIMISHA.

Abby Solo mmoja wa mavocalist wa JJ Band akifanya yake ndani ya Usiku wa Baba na Mwanza uliofanyika Villa park Mwanza jumamosi, basi unaambiwa weekend hii ndiyo mwisho, mpaka awamu nyingineeeeeeeE!!.
Kutoka kwa wadau wa Jembe family kushoto ni Mwaka D, Balozi waHeinkein na Bob White Pamba wakiwa red carpetini.
Heinkein man na mauaClassic.
Ma-Producer wanapokutana QThe Don, Oxy Okelleky na 
Abby Sollo na January Eleven wakishambulia jukwaa.
Pale shabiki anapopata mizuka na kutaka kuonyesha ufundi wake.
Chali....
Solo likikung'utwa.
Nyataaaaa!!.
Keybordist.
Drummer.
The view at ze area.
Mzuka.
Wakuitwa Popo Bawa.
Hisia ....
Mashabiki wanapokkolea mijisongi ya JJ Band.
Wakali wa town.
PICHA ZA AWAMU YA PILI NA SUPER KAMANYOLA ZAJA.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.