Rais Magufuli ashiriki katika misa ya kuadhimisha sikukuu ya Krismasi katika kanisa la Mt. Petro Oystabay jijini Dar Es Salaam. Rais Magufuli ametuma salamu na heri ya sikukuu ya krismasi kwa Watanzania wote na kuwataka kufuata misingi ya dini na kudumisha upendo.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.