ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, December 4, 2015

PICHA MBALIMBALI ZA MATUKIO YA JEMBEKA CAMPAS JAM PART TWO.

Mmoja wa washiriki  wa shindano la mitindo katika Jembeka Campus akitamba ulingoni katika bonge moja la pati  lililofanyika jumamosi ya wiki iliyopita pale Jembe Beach resort Mwanza.
Mkurugenzi wa Jembe Media Group Sebastian Ndege (kulia) akipata picha ya kumbukumbu na DVJ Frank Toka Jembe DJs
Mmoja wa washiriki  wa shindano la mitindo katika Jembeka Campus akitamba ulingoni katika bonge moja la pati  lililofanyika jumamosi ya wiki iliyopita pale Jembe Beach resort Mwanza.
Mikogo...na minato.
Zile cat walk sasa.
Vazi la ubunifu toka la mmoja wa wanavyuo jukwaani...
Shabiki na mziki wake.
Fashonista..
Kiasili dizaini.
Safu ya warembo.
Mabinti wa vyuo katika vazi la usiku.
Mshindi akabainishwa.
Kutoka nchini Kenya Dj Della Cream alikisanukisha mbaya.


Mashabiki woyoooooo!!!


Startimes team masoko ikiwakilisha salamu za kampuni kabla ya kutoa zawadi.
Startimes team masoko ikiwakilisha zawadi kwa mshindi wa kwanza upande wa brothers.
Kundi bora ni.......
Bata picha kwa chati at VIP kwenye kona.
Mezani.
Gsengo akipata picha na Mzaire Bokilo mmoja wa mamemba wa Jembe Fm 93.7
Shabiki namba moja wa Jembe Fm toka wilaya ya Misungwi akiwakilisha kwa foto na Chriss The Dj.
Dj Zepha (mwenye cap nyeusi na Tshirt White) akiwa na washkaji wenzake Bata Lounge ndani ya Jembe Beach Mwanza usiku wa Jembeka Campus Jam 2015-2016

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.