**SATURDAY EXPRESS** Ajali mbaya ya kusikitisha imetokea jana 25/Dec2015 majira ya saa 12 asubuhi eneo la Soni Lushoto Tanga na watu wapatao 4 kufariki na majeruhi 105 baada ya lori walilokuwa wakisafiria Kutoka Korogwe kwenda Mugwashi wilayani Lushoto kuacha njia na kupinduka. Gari hilo aina ya Mitsubish Fuso lenye namba za usajili T 326 ADE lilipinduka baada ya dereva wa Gari hilo kushindwa kulimudu kutokana na mwendo kasi na likatumbukia kwenye korongo.... ZAIDI TAARIFA IFUATAYO.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.