ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, November 14, 2015

ILIVYOKUWA MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA LEO 14 NOV 2015


Mambo Ya Samatta Uwanjani

Mambo ya Samatta sio ya kitoto licha ya mpira kuwa wa moto kwelikweli kwa timu zote mbili za Taifa stars na timu ya Algeria.

Stars 1 Algeria 0 DakikaYa 43

Mgagaa na upwa hali wali mkavu bwana, baada ya dakika kadhaa za utulivu Tanzania inajipatia goli la kwanza kupitia mchezaji Mwinyi Haji katika dakika ya 43;

Stars 2 Algeria 0

Mbwana Samatta wacha kabisa habari yake, hebu ona alivyokuwa akipiga mpira kwa kujiamini mwishoe aipatia Tanzania goli la 2;

Stars, Algeria Watoka Draw

Na dakika 90 za kandanda zimefikia ukingoni huku timu zote zikiwa na mabao sare ya 2 kwa 2;

Algeria 2 Stars 2

Huku ni kukosa bahati kwa mechi ya leo au? Angalia hali ilivyo dimbani kipindi cha kwanza. Hebu toa tathmini yako binafsi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.