ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, August 21, 2015

FUMO FELICIAN AKITAJA KIKOSI BORA CHA YANGA ENZI ZAKE.


1.Kwa mtazamo wako mwenendo wa timu ya Yanga Africans unakuridhisha?

2.Ni kipi kikosi bora cha Yanga Africans zama zako?

3.Hofu ya mchezo wa Simba na Yanga huwa inaishia kwa mashabiki tu au kiwewe hutawala pia kwa wachezaji?

4.Mchezo gani hutousahau uliowakutanisha ninyi dhidi ya Simba? 

5.Timu gani enzi zako ilokuwa na wachezaji wababe mwanzo mwisho na mchezaji gani aliyekuwa anaongoza kwa undava + uhuni dimbani? 

**SPORTS RIPOTI** ya 93.7 jEMBe fM inayoruka kila siku za juma ambapo jumatano na alhamisi tunakutana katika Jukwaa la Wakongwe inamalizia mazungumzo na Fumo Felician mchezaji wa zamani wa Yanga Africans. 

Ungana na @johnanatory Muda saa tatu kamili usiku hadi saa nne kamili. BOFYA PLAY KUSIKILIZA

Tupate popote ulimwenguni nenda kwenye play store yako download kitufe cha jEMBe fM sikiliza LIVE kwa simu yako ya mkononi.


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.