ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, July 3, 2015

"NATAMANI KUPATA VIPAJI VYA KIKE TOKA JIJINI MWANZA" ASEMA MADAM RITHA WA BSS.

Mkurugenzi wa Benchmark Production, Rita Paulsen aka Madam Rita akizungumza na Jembe Fm 93.7 Mwanza.

Ile team ya Majaji ya jukwaa la kusaka vipaji nchini Tanzania kupitia BSS (Bongo Star Search 2015) tayari imekwisha wasili jijini Mwanza kwaajili ya kufanya usaili kwa washiriki mbalimbali. 

Jembe Fm Mwanza imepata kuzungumza na moja kati ya majaji Madam Ritha BOFYA PLAY MSIKILIZE
'PAMOJA SANA' Mkurugenzi wa Jembe Media Dr. Sebastian Ndege (kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa Benchmark Production, Rita Paulsen aka Madam Rita ndani ya studio za Jembe Fm 93.7 Mwanza.
Mtayarishaji wa muziki nchini ambaye ni mmoja wa majaji wa BSS Master J (katikati) akifanya mahojiano na Jembe Fm Mwanza.
Mwakilishi wa Salama Condom ambao ni moja kati ya wadhamini wa BSS 2015.
Crew.
Kutoka kushoto ni Dj K-Flip, producer wa Jembe Fm, Oxy na Master J.
Picha ya pamoja.
Jaji Salama Jabir akizungumza na 93.7 Jembe Fm. 
"Hapana siyo mimi labda Salama" Master J na salama walikuwa na jambo hapa....
The area...
Walipotua tu.....

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.