ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, July 10, 2015

KAMANDA WA JIMBO LA CHUMBUNI AFUTURISHA WANANCHI WA JIMBO LAKE.

Kamanda wa Jimbo la Chumbuni UVCCM Ndg Ussi Salum Pondeza Hanjad akikaribisha wageni wake katika futari aliowaandalia Wananchi wa Chumbuni ikiwa ni kawaida yake kila mwaka hujumuika na Wananchi hao katika futari katika mwezi mtukufu wa ramadhani.
Wananchi wa Chumbuni wakijumuka katika futari ilioandakliwa na Kamanda Hamjad katika viwanja tawi la CCM Muembemakumbi Zanzibar.
Wananchi wakijumuika katika futari ilioandaliwa kwa ajili yao.
Akinamama na watoto wakijumuika katika futari ilioandaliwa kwa ajili yao.
Akinamama
Akinamama
Mzee wa Chumbuni akitowa shukrani wakati wa hafla hiyo ya futari ilioandaliwa na Kamanda wa Jimbo la Chumbuni Ussi Salum Pondeza.
  Mzee wa Muembemakumbi akisoma dua baada ya hafla hiyo ya futari.
  Dua.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.