ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, June 12, 2015

PINDA ATEGUA KITENDAWILI CHA UWANJA WA NYAMAGANA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipiga mpira wakati alipofungua mashindano ya UMISETA kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda akisalimia maelfu ya wananchi vijana waliofurika katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza, hivi majuzi kwenye uzinduzi wa Mashindano ya 37 ya Michezo ya Shule za Sekondari nchini UMISETA. 
Ze nyomi.
Watoto, vijana, akina mama na akina baba wako hapa.
Parade.
Washiriki wa UMISSETA Kanda ya Kati Singida na Dodoma.
The parade.
Kanda ya Kaskazini Magharibi.
Kanda ya Kaskazini Mashariki.
The parade.
Vijana wamejitokeza kushiriki kikamilifu.
Michezo ni furaha, michezo ni afya.
Nyanda za juu kusini.
Mwonekano wa uwanja kwa eneo la kati.
Wimbo maalum uliimbwa kama sehemu za shamrashamra za Mashindano.
HATIMAYE huenda kitendawili cha uwanja wa Nyamagana sasa kikateguliwa baada ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda kuahidi kulifanyia kazi suala hilo.

Waziri Mkuu ameyasema hayo majuzi jijini Mwanza katika uzinduzi wa Mashindano ya 37 ya Michezo ya Sekondari nchini UMISETA.
Hali ya uwanja wa Nyamagana ulivyo sasa. 


Awali Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Magesa Mulongo alimueleza Waziri Mkuu suala la Uwanja wa Nyamagana kuwa Changamoto kubwa, naye waziri anayehusika na TAMISEMI Hawa Ghasia akiwasihi wanamichezo kujitokeza kwa wingi katika Mashindano hayo mwanzo hadi tamati.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.