ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, June 12, 2015

PICHA NA PRESS RELEASE YA UZINDUZI WA KINYWAJI KIPYA TBL - KILIMANJO TWIST

Waremo wa kinywaji kipya cha Kill Twist wakishangilia boti ya kisasa iliyokuwa imebeba warembo wenzao na kinywaji hicho wakati wa uzinduzi huo uliofanyika katika Ufukwe wa Azura jijini Dar es Salaam.
Waremo wa kinywaji kipya cha Kill Twist wakiwasili katika ufukwe wa Azura wakiwa na kinywaji hicho wakati wa uzinduzi huo jijini Dar es Salaam.
Waremo wa kinywaji kipya cha Kill Twist wakiwasili katika ufukwe wa Azura wakiwa na kinywaji hicho wakati wa uzinduzi huo jijini Dar es Salaam.
Waremo wa kinywaji kipya cha Kill Twist wakishangilia mara baada ya wenzao kuwasili na boti ya kisasda ya kisasa iliyokuwa imebeba kinywaji hicho wakati wa uzinduzi uliofanyika katika Ufukwe wa Azura jijini Dar es Salaam.Kulia ni waandishi wa habari wakiwa kazini.
Waremo wa kinywaji kipya cha Kill Twist wakishangilia mara baada ya wenzao kuwasili na boti ya kisasa ya kisasa iliyokuwa imebeba kinywaji hicho wakati wa uzinduzi uliofanyika katika Ufukwe wa Azura jijini Dar es Salaam.
TBL YAZINDUA BIA MPYA
Dar es Salaam, Alhamisi 11 Juni 2015; Kampuni ya Bianchini (TBL) leo hii imezindua bia mpya ya Kilimanjaro Twist (Kili Twist) yenye ladha ya machungwa. Hii ni mara ya kwanza kwa bia ya aina hii yenye ladha ya matunda kuzinduliwa hapa nchini.

Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa bia hiyo, Meneja wa bia ya Kilimanjaro Twist Edith Bebwa alisema, “Leo hii TBL 

imebadilisha mtazamo wa watu wanavyoifikiria bia kwa kuzindua kinywaji hiki. Hii ni bia ya kwanza ya ladha ya matunda humu nchini na tunatarajia kuwafikia wateja wengine ambao wanataka kuhisika mawanakunywa bia lakini kupata ladha iliyo laini na tamu zaidi na ladha halisi ya machungwa”.

Bia ya Kilimanjaro Twist ni bia yenye asili ya Kitanzania kwa 100% na ladha halisi ya machungwa, ina kilevi cha asilimia 2 % tu.

Bia hiiinatengenezwahapanchinikwakutumiaviuongovyenyeuborananimwanafamiliawabiaya Kilimanjaro Premium Lager ambayo ni kati ya bia bora zaidi nchini.

Biaya Kilimanjaro Twist itauzwakwabeiya TZS 1,500/= na itapatikana katika baa na hoteli zote kubwa za Dar es salaam. Kutoka na namtindowakimiminika cha biahii, mnywajianaptakiburudisho cha hali ya juu na hivyo inawaruhusu wanywaji kuinywa hata mida ya chakula cha mchana, wakati wa mapunziko nyumbani au ufukweni kitu  ambacho bia za kawaida haziruhusu.


“TBL imekuwa mstari wa mbele katika maswala ya uvumbuzi ya viwanwaji vyake na tumeendelea kufanya hivyo na bia hii ya Kilimanjaro Twisti nadhibitisha hilo. Nawasihi wateja waijaribu Kilimanjaro Twist kwani ina ladha nzuri na inastahili katika tukio lolote” alimalizia kwa kusema.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.