ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, April 11, 2015

PICHA ZAIDI ZA MAFURIKO LAMADI WILAYANI BUSEGA MKOANI SIMIYU

Afisa wa Idara ya Kilimo wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega,Msingi Lyeme (pichani), mkoani Simiyu akiangalia moja ya nyumba  zilizoanguka kufatia mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika kijiji cha Lamadi wilayani Busega kama aliyonaswa na Kamera yetu. 


Baadhiya nyumba zilizobomoka na kuanguka kutokana na maji kujaa ndani kufatia mafuriko yaliyotokea katika kitongoji cha Kisesa Sokoni, Kijiji cha Lamadi wilayani Busega mkoani Simiyu jana kufatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini. 
Baadhiya nyumba zilizobomoka na kuanguka kutokana na maji kujaa ndani kufatia mafuriko yaliyotokea katika kitongoji cha Kisesa Sokoni, Kijiji cha Lamadi wilayani Busega mkoani Simiyu jana kufatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini. 
Baadhiya nyumba zilizobomoka na kuanguka kutokana na maji kujaa ndani kufatia mafuriko yaliyotokea katika kitongoji cha Kisesa Sokoni, Kijiji cha Lamadi wilayani Busega mkoani Simiyu jana kufatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini. 
Baadhi ya wakazi walioathilika na mafuriko katika kijiji cha Lamadi wilayani Busega mkoani Simiyu wakiwa nje ya maeneo ya nyumba zao baada ya kubomoka kufatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini. 
Baadhiya nyumba zilizobomoka na kuanguka kutokana na maji kujaa ndani kufatia mafuriko yaliyotokea katika kitongoji cha Kisesa Sokoni, Kijiji cha Lamadi wilayani Busega mkoani Simiyu jana kufatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini. 
Baadhi ya wakazi walioathilika na mafuriko katika kijiji cha Lamadi wilayani Busega mkoani Simiyu wakiwa nje ya maeneo ya nyumba zao baada ya kubomoka kufatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini. 
Maeneo ya nyumba za makazi katika mji wa Lamadi yaliyokumbwa na mafuriko.
Ni sehemu ya msaada wa chakula, blanketi na majiya kunywa vilivyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Busega, DK. Titus Kamani kufatia kukumbwa na mafuriko.
Upakuzi...
Baadhi ya wananchi wa kitongoji cha Likungu-Lamadi wakiwa wamebeba msaada wa chakula, blanketi na majiya kunywa vilivyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Busega, DK. Titus Kamani kufatia kukumbwa na mafuriko.
Baadhi ya wananchi wa kitongoji cha Likungu-Lamadi wakiwa wamebeba msaada wa chakula, blanketi na majiya kunywa vilivyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Busega, DK. Titus Kamani kufatia kukumbwa na mafuriko.
Baadhi ya wananchi wa kitongoji cha Likungu-Lamadi wakiwa wamebeba msaada wa chakula, blanketi na majiya kunywa vilivyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Busega, DK. Titus Kamani kufatia kukumbwa na mafuriko.
Baadhi ya wananchi wa kitongoji cha Likungu-Lamadi wakiwa wamebeba msaada wa chakula, blanketi na majiya kunywa vilivyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Busega, DK. Titus Kamani kufatia kukumbwa na mafuriko.
Mkuu wa Wilaya ya Busega, Paul Mzindakaya (mwenye kofia), akitoa taarifa kwa waandishiwa habari kutoka vyombo mbalimbali waliokuwa katika kijiji cha Lamadi yalipotokea mafuriko.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.