ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, February 21, 2015

LEO NDANI YA JEMBE BEACH NI KUJEMBEKA TU NA SAUTI SOL.


Ilikuwa Mwezi, siku hatime zimesalia dakika ule mpango mzima wa kuzifungulia burudani ulioasisiwa na redio mpya ya jijini Mwanza JEMBE FM na kubatizwa jina 'JEMBEKA' uanze rasmi. 

Ni leo JUMAMOSI tarehe 21/02/2015 ndani ya kiota cha burudani cha kitalii Jembe Beach Mwanza.

Burudani itakayo fungua mpango huo wa 'JEMBEKA' ni kutoka kwa kundi maarufu Afrika Mashariki lililovuka mipaka na sasa muziki wake kuchezwa hadi barani Ulaya kundi la Sauti Sol toka nchini Kenya ambao watapiga muziki LIVE.

Vijana wa Nyumbani JJ Band nao watakuwepo ndani ya Jembe Beach Resort kwaajili ya kumwaga burudani ya kijanja zaidi ya vile ulivyowazoea.

Kiingilio ni shilingi 10,000/= kwa tiketi za awali na Tshs 15,000/= ukinunua getini.
Tiketi zinapatikana SASA ofisi za Jembe Fm zilizopo PPF Plaza Mwanza. 
Ni matayarisho ya mwisho mwisho ndani ya Jembe Beach.
Mwonekano wa leo.
Jiografia ya leo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.