WAKATI timu ya Mwadui Fc ya mjini Shinyanga ikilazimishwa sare tasa nyumbani kwa Kanembwa Fc pale mkoani Kigoma kunako uwanja wa CCM Kirumba Mwanza mchezo mwingine wa Ligi daraja la kwanza Tanzania Bara uliowakutanisha Toto Africana dhidi ya Polisi Mara umeishuhudia timu hiyo ya Mtaa wa Kishamapanda (Toto Africans) ikiibuka kifua mbele na kuzidi kujiweka pazuri mara baada ya kuondoka na pointi zote tatu muhimu kwa kuifunga Polisi Mara bao 1-0. ZAIDI BOFYA PLAY KUSIKILIZA
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.