ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, January 23, 2015

SKYLIGHT BAND YAIBUA KIFAA KIPYA MITHILI YA KASUKU SI MWINGINE NI ASHURA KITENGE, NJOO LEO UMSHUHUDIE THAI VILLAGE

DSC_0014
Mratibu wa Skylight Band, Lubea akimkaribisha mdau wa bendi hiyo Miryam Kamaliza shot ya Tequila wakati wa show iliyobamba wakazi wa Dar Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki.
DSC_0017
Mratibu wa Skylight Band, Lubea akimimina kinywaji cha Tequila kwa Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village.
DSC_0018
Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 akipiga kilaji cha Tequila kupasha mwili joto kabla ya kupanda jukwaani, kinywaji hicho ni maalum kwa mashabiki wa bendi hiyo pindi wanapoingia kwenye kizingiti cha ukumbi huo wa Thai Village, Masaki jijini Dar.
DSC_0019
Msanii wa Skylight Band Joniko Music (katikati), akifungua dimba la burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo huku akipewa sapoti na Aneth Kushaba AK 47 pamoja na Sam Mapenzi (kulia) wakati show zao za kila Ijumaa ndani ukumbi wa Thai Village Masaki, jijini Dar.
DSC_0115
Aaaah Komando Kipensi weeeeeee... si mwingine ni Le Manager her self Aneth Kushaba AK 47 mutoto ya Kisukuma akifanya yake jukwaani Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar......Tukutane baadae pale kati....Full MAU-KODAK kuwa huru kuomba picha na washikaji zako mdau wetu.
DSC_0034
Murembo mupya binti mwenye sauti ya kumtoa Nyoka pangoni, Ashura Kitenge akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar es Salaam Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti na Rapa mkongwe Joniko Flower pamoja na Aneth Kushaba AK47.
DSC_0126
Mashabiki wa Skylight Band wakijimwaga kwa raha zao.
DSC_0053
Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 a.k.a #KomandoKipensi akiwa kwenye hisia kali wakati akitoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar.
DSC_0068
Daudi Tumba akifanya yake jukwaani kuhakikisha mashabiki wa Skylight Band wanapata ladha nzuri ya muziki wa Live ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar Ijumaa iliyopita.
DSC_0072
Majembe ya Skylight Band yakijimwaga na sebene jukwaani kwenye show za bendi hiyo zinazofanyika kila Ijumaa ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar.
DSC_0120
Mashabiki wa Skylight Band wakijiachia kwa raha zao ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar.
DSC_0088
Vijana wa Skylight Band wakitimua vumbi jukwaani wakiongozwa na Sony Masamba.
DSC_0141
Twende kazi.... Sony Masamba akilisongesha na vijana wenzake.
DSC_0098
Rapa mkongwe kwenye muziki wa Live Joniko Flower (kushoto) akichana mistari huku wenzake wakitimua vumbi jukwaani.
DSC_0109
Sam Mapenzi asali ya warembo akiwa kenye hisia kali alipokuwa akiwapa haki yao mashabiki wa Skylight Band na nyimbo za kisasa zikiwemo Naija Flava, Reggae na zingine kibao....jamaa ni mkali asiyekubali ni mchawi...!
DSC_0131
Mashabiki wa Skylight Band wakijinafasi kwa raha zao.
DSC_0105
Rais wa #Wanamanyoya Sultan Gijegije (kulia) akipata ukodak na wanamanyoya Joshua Ndege (katikati) pamoja na mdau.
DSC_0082
Sura mpya ndani ya Skylight Band yenye sauti mithili ya ndege Kasuka si mwingine ni Ashura Kitenge akishow love na Joshua Ngoje back stage.
DSC_0083
Kisura mwingine wa Skylight Band anayefamika kwa jina la Baby (kulia) akipata ukodak na shosti yake back stage.
DSC_0106
Wadau nambari One wa Skylight Band wakishow love na Ukodak.
DSC_0154
#TeamWadananda wakishow love na mdau.
DSC_0159
Rapa wa Skylight Band Sony Masamba akishow love na wadau wa bendi hiyo baada ya kuhitimisha show ya Ijumaa iliyobamba ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar. Tukutane baadae.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.