ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, January 29, 2015

MSHINDI WA PILI "MTOKO WA MBUGANI" AKIVINJARI NDANI YA HIFADHI YA SERENGETI

Mshindi wa pili wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw.Deogratias Peter Mbogole (kushoto) akiwa na rafiki yake Goodluck Shirima(kulia) ndani ya hifadhi ya taifa ya Serengeti kukamilisha mtoko wao wa siku mbili ndani ya hifadhi hiyo...Hapa ni Tarangire river view waliposimama kujionea kundi kubwa la tembo wakivuka barabara. Deo aliibuka mshindi mara baada ya kushiriki kwenye shindano linaloendelea la “Tutoke na Serengeti” linaloendeshwa na SBL kwa ushirikino na BPESA
Mshindi wa mtoko wa mbugani Bw. Deogratias Peter Mbogole akiangalia kundi la simba ndani ya hifadhi hiyo waliposimama “Small Serengeti plains”  ambapo wanyama hao wanaonekana kwa wingi. Safari hii inadhaminiwa na Kampuni ya bia ya Serengeti. Deo aliibuka mshindi mara baada ya kushiriki kwenye shindano linaloendelea la “Tutoke na Serengeti” linaloendeshwa na SBL kwa ushirikino na BPESA
Mshindi wa mtoko wa mbugani Bw. Deogratias Peter Mbogole (kushoto) akiwa na rafiki yake Goodluck Shirima(kulia) wakitumia darubini kuangalia makundi makubwa ya viboko ndani ya “Hippo pool view”-Manyara ambapo wanyama hao wanaonekana vizuri na kwa wingi. Deo aliibuka mshindi mara baada ya kushiriki kwenye shindano linaloendelea la “Tutoke na Serengeti” linaloendeshwa na SBL kwa ushirikino na BPESA.
Mshindi wa mtoko wa mbugani Bw. Deogratias Peter Mbogole(kushoto) akiwa na rafiki yake Goodluck Shirima(kulia) walipoanza safari yao ya utalii wa siku 2 ndani ya hifadhi ya taifa ya Serengeti. Deo aliibuka mshindi mara baada ya kushiriki kwenye shindano linaloendelea la “Tutoke na Serengeti” linaloendeshwa na SBL kwa ushirikino na BPESA.
Mshindi wa mtoko wa mbugani Bw. Deogratias Peter Mbogole(kulia) na rafiki yake Goodluck Shirima (kushoto) wakiangalia tembo wanaovuka barabara kwa ukaribu zaidi ndani ya hifadhi ya taifa ya Serengeti walipoanza mtoko wao wa siku mbili ndani ya mbuga hiyo. Deo aliibuka mshindi mara baada ya kushiriki kwenye shindano linaloendelea la “Tutoke na Serengeti” linaloendeshwa na SBL kwa ushirikino na BPESA
“Tutoke na Serengeti”
“Tutoke na Serengeti”

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.