ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, March 15, 2014

TANZANIA HOSTS HIGH-LEVEL DIALOGUE ON ECONOMIC INTEGRATION

The former president of Tanzania, Benjamin Mkapa (L) speaking to media in Dar es Salaam after finishing the High-level Dialogue which was organised by The Mandela Institute for Development Studies (MINDS) based in Johannesburg. (R) is the founder and Executive Chairman of MINDS, Dr. Nkosana Moyo. Picture by Cathbert Kajuna.
---
THE former president of Tanzania, Benjamin Mkapa yesterday (14th March 2014) hosted various African thought leaders from trade, industry, political, civil society, consultants plus six former heads of state in an informal dialogue that discussed the pace of economic development in the continent.

Speaking to media in Dar es Salaam Mr. Mkapa said the one day High-level Dialogue was organised by The Mandela Institute for Development Studies (MINDS) based in Johannesburg and sought to address ways in which to make interaction between different sector leaderships more efficacious for African Development within countries and across the continent.

“We fully appreciate the fact that economic integration is a major driver of the development process in our countrys. We discussed at length various factors that drive this process forward. This is a totally informal dialogue by people that are concerned and interested in the pace of integration in Africa from obstacles, how we can overcome them and achievements we seek to find,” said Mr Mkapa.

Among those who took part in the closed door dialogue included six former Head of State and Government, namely former Presidents Joachim Chissano of Mozambique, Thabo Mbeki of South Africa, Festus Mogae of Botswana, Olusegun Obasanjo of Nigeria, Pedro Pires of Cape Verde, and Benjamin Mkapa of Tanzania.

They were joined by the President of the African Development Bank, Dr. Donald Kaberuka plus forty other distinguished invitees - former civil servants, CEOs, academics and some civic society thought leaders from various regions of the continent.

According to the founder and Executive Chairman of MINDS, Dr. Nkosana Moyo, the institution is an ‘Pan-African Think Tank’ born out of the realisation that Africa’s development efforts have a tardy impact, and that the dialogues can help Africa take ownership.

“The MINDS think tank was set up with the aim of creating a space/ platform to give sector leaders an opportunity to meet amongst ourselves and discuss issues of relevance to the development of the continent to identify any obstacles that are present and try to work out possible solutions to those obstacles,” Dr. Moyo said.

“In terms of the people that are invited to the dialogues, we include politicians, civil servants, private sector, civil society, women and youth. These stakeholders are involved in identifying obstacles to Africa’s economic development, trying to formulate response to the same and lobbying those currently running the continent to try and getting those policies formulated which are responsive to implementation of possible solutions,” he elaborated.

“Some of the issues addressed just to name a few, was the philosophy of economic integration since the Lagos plan of action, how far has been achieved since then to now, is the spirit still there? What can be done to give more momentum? We also went into the concept of development corridors in Africa for instance Maputo, Mtwara corridor, north- south corridor e.t.c. What state are they in, is the implementation vigorous enough, to what can be done to step that forward,” explained former Tanzanian president Benjamin Mkapa.

MINDS received explicit endorsement by the late President Mandela as its founding in 2010. He said:- It is my hope that the Mandela Institute for Development Studies ( MINDS) will make a real difference in the resolution of the challenges that confront Africa through vibrant and robust debate, interrogating current paradigms and offering new approaches.

Ms Graca Machel, Mr Ali A. Mufuruki and Ms Sarah Mankaer serve on the Board of MINDS. It has an Advisory Board comprising Dr. Kaberuka, Dr. Ngozi Okonjo-Eweala, Mr Francis Daniel, and Mr Ayed Nouredinne.

RIDHIWANI AANZA MBIO ZA KUSAKA KURA JIMBO LA CHALINZE

Meneja wa Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),Ndg. Steven Kazidi (kushoto) akimuinua mkono juu kwa ishara ya kumnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo hilo (CCM),Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete wakati wa mkutano wa kwanza wa kampeni uliofanyika katika kijiji cha Matipwili,Saadani Wilayani Bagamoyo jana Machi 14,2014.
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwahutubi wananchi wa Kijiji cha Matipwili,Saadani Wilayani Bagamoyo,wakati wa mkutano wa kwanza wa kampeni zake ulioanza rasmi jana Machi 14,2014.
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwahutubi wananchi wa Kijiji cha Saadani,Wilayani Bagamoyo.wakati wa kampeni zake zilizoanza rasmi jana Machi 14,2014.
Baada ya kumaliza Mkutano na Wananchi wa Kijiji cha Matipwili,Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze,Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete alifika katika Kijiji cha Gongo ndani ya Tarafa ya Saadani na kukutana na wananchi wa Kijiji hicho na kuzungumza nao kama aonekanavyo pichani.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwahutubia wanakijiji wakazi wa Kijiji cha Mkange,Saadani Wilayani Bagamoyo waliojitokeza kwa wingi kumsikiliza huku wengi wakiahidi kumpa kura zao pindi itakapofika siku ya Uchaguzi huo mdogo wa Jimbo hilo.
Diwani wa Kata ya Talawanda ndani ya Jimbo la Chalinze,Said Zikatimu akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Gongo,huku akiwataka kutofanya ajizi pindi itakapofika siku ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,hivyo kura zao zote wampigie Mgombea wa CCM ambaye ni Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete.
Diwani wa Kata ya Mkange,Ndg. Abdallah Mwendali nae hakuwa nyuma katika kuwasisitiza wananchi wa Jimbo la Chalinze.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze,Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete akinong'onezwa jambo na Mmoja wa kinamama wa Kijiji cha Matipwili (Jina lake halikuweza fahamika mara moja).
"Ni furaha tupu" Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze,Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete akifurahia jambo na wanakijiji wa Matipwili.
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete akisalimiana na Wanakijiji cha Mkange,wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Mkutano.
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete akisalimiana na Sheikh wa Kijiji cha Mkange.
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete akisalimiana na rafiki yake wa kitambo.
Mwenyekiti wa Kampeni katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ndg. Saleh Mpwimbwi akimmwagia sifa kede kede Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ndg. Ridhiwani Jakaya Kikwete .

MANISPAA YA ILEMELA NA DIWANI WA KIRUMBA THIS IS TOO MUCH.

Kirumba hatupumui hii ndiyo hali halisi ya dampo lililo katika uwanja wa Furahisha ambapo hali ni tete,, uchafu huu licha ya kusimikwa kwenye moja ya engo za uwanja huu, ukimega kiwanja cha michezo na mikutano, uchafu huo sasa unaitafuna barabara ya mtaa huu kiasi cha kutaka kuingia kwenye makazi ya watu. 
Kutoka chini tope za taka zikiwa na funza na wadudu hatari ambao ni chanzo cha maradhi limeanza kuigia hata kwenye barabara ya lami ya kuelekea sokoni.
Uchafu usiozolewa.
Barabara imekuwa uchochoro.
Barabara yenyewe.
Mzigo mwingine huooooo!!!.
Pembezoni mbele kuna hoteli na hapa kinachoonekana kulia ni nyumba ambayo ni makazi halali ya mwananchi ambaye kajitutumua kwa kila hali kunakshi mji kwa kujenga nyumba nzuri yenye bustani safi ya kutunza mazingira.... mmmm inasikitisha.

Friday, March 14, 2014

JACQUELINE WOLPER, DULLY SYKES, LINAH SANGA, SHETA NA GELLY WA RHYMES WAIPA TANO SKYLIGHT BAND.

DSC_0344
Rapa Joniko Flower akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) huku wenzake wakisebeneka ndani ya kiota cha Thai Village Ijumaa iliyopita pamoja na Ijumaa zingine za kila wiki.
DSC_0350
Mdau wakijiachia na mrembo wa kizungu...Chezea Skylight Band wewe....ni Balaaa!
DSC_0366
Mashabiki wakila raha za Skylight Band! Mguu wa kushoto mbele wa kulia nyuma........!
DSC_0177
Sam Mapenzi wa Skylight Band akitoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo sambamba na Joniko Flower, Mary Lucos pamoja na Sony Masamba Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0293
Watuache sie kwa raha zetu...warembo wakisakata burudani ya Skylight Band.
DSC_0172
Aneth Kushaba AK47 na Winfrida Richard wa Skylight Band wakiwapa raha wapenzi wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita ndani ya ukumbi wa Thai Village.
DSC_0343
Pale mzungu asiposikia la mwazini wa la mnadi sala......burudani ikikolea basi tena......Skylight Band iko juu...!
DSC_0207
Hashim Donode na Winfrida Richard wakifanya yao jukwaani kuhakikisha mashabiki wao wanapata burudani adhimu.
DSC_0321
Palikuwa hapatoshi...Tukutane tena leo jioni kuanzi saa 21:30 usiku.
DSC_0379
Petit Money akishow love na star wa Bongo Movie Jacqueline Wolper a.k.a Wolpergambe ikiwa ni mara yake ya kwanza kushuhudia burudani ya Skylight Band.
DSC_0376
Gelly wa Rhymes akipata Ukodak na Sister wake All the way from Sweden.
DSC_0363
DSC_0360
Gelly wa Rhymes pamoja na Dully Sykes a.k.a Mr. Misifa wanakwambia kitambi noma.....ndani ya kiota cha Thai Village Ijumaa iliyopita.
DSC_0346
All the way from Mwanza......DVJ Frank wa Club Jembe ya Skylight Beach Resort ya jijini Mwanza (mwenye ya mistari) wakipagana Ukodak wa kumbukumbu na marafiki zake walipokuja kula bata na Skylight Band.
DSC_0211
Mdau Neema Mbuya alikuwa anasheherekea siku yake ya kuzaliwa na kujumika na Skylight Band Ijumaa iliyopita, akiwa ameambatana na msururu wa warembo waliowahi kushiriki taji la Miss Tanzania miaka iliyopita.
DSC_0175
Birthday Girl Neema Mbuya (kulia) na marafiki zake ndani ya Thai Village.
DSC_0217
Birthday Girl Neema Mbuya akiimbiwa na marafiki zake pamoja na Skylight Band wakati wa kukata cake.
DSC_0230
Birthday Girl Neema Mbuya awalisha mashosti zake.
DSC_0231
DSC_0234
DSC_0237
Usikosee Ijumaa hii unakosa kuosha macho na warembo wa ukweli...!

Kwa picha zaidi ingia humu

AIRTEL YAKABIDHI MILIONI 50 KWA MSHINDI WA PROMOSHENI YA MIMI NI BINGWA LEO.

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa makabidhiano ya hundi kwa Mshindi  wa Promosheni  ya Mimi ni Bingwa, aliyejishindia Shilingi Milioni 50, Bw. Kagombo Rashind Jacob (kushoto). Pembeni ni Meneja Masoko wa Airtel , Upendo Nkini.
Meneja Masoko  wa Airtel , Upendo Nkini (kushoto) akikabidhi hundi kwa Mshindi  wa Promosheni  ya Mimi ni Bingwa, aliyejishindia Shilingi Milioni 50, Bw. Kagombo Rashind Jacob (kushoto). Pembeni ni  kushoto ni rafiki wa mshindi huyo Antidius Diocresi.
Mshindi  wa Promosheni  ya Mimi ni Bingwa, aliyejishindia Shilingi Milioni 50, Bw. Kagombo Rashind Jacob (kushoto) akiongea kushukuru kampuni ya Airtel Tanzania kwa kuweza kuanzisha promosheni hiyo ambayo imeweza kumfanya akawa bingwa. Pembeni ni  Afisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando.
Airtel yakabidhi milioni 50 kwa mshindi wa promosheni ya MIMI ni Bingwa leo 
 
·         Washindi wengine 14 kwenda OLD-TRAFFPORD Uingereza kesho -Ijumaa

 
KAMPUNI ya simu za mkononi ya kupitia promosheni yake ya mimi ni bingwa  iliyomalizika hivi karibuni imemkabidhi mshindi wake BW, Rashidi Kagombora mkazi wa Bukoba hundi ya shilingi milioni 50 leo katika hafla iliyofanyika katika makao makuu ya Airtel Dar es salaam 
 
Akiongea wakati wa makabidhiano hayo Meneja Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando alisema “Airtel tunawashukuru wateja wote walioshiriki kikamilifu katika promosheni yetu ya MIMI NI BINGWA, leo tunamkabidhi bw, Kagombola kitita chake kupitia hundi hii ya mfano na baada ya siku chache pesa zake zitaingia katika akaunti yake ya benki moja kwa moja”
 
Vilevile tunafuraha kuwatangazia kuwa jumla ya wateja 14 wa Airtel walioshiriki katika promosheni ya MIMI BINGWA wataondoka kesho kwenda nchini Uingereza jiji la Manchester CITY na watapata nafasi ya kushuhudia soka LIVE kati ya Manchester United na Liverpool siku ya jumapili tarehe 16/03/2014 soka litakalochezwa saa 9 na nusu alasiri. 
 
Washindi wa MIMI NI BINGWA wanaotarajiwa  kuondoka kesho siku ya ijumaa ni GEOFREY DAVID MSITU, JOSEPH STEVEN MAMBO,SEVERA MORIS MATHIAS, HARRSON WILSON, RAFAEL WAIRES KABENGA, EDMUND HENRY KAGIMBO, AMINIYEU NLILIE NATAI, MAULID BARAKA KITENGE, JOSEPH MOSES NDOSSI, CHARLES JOSEPH BUCHWA, GOODLUCK RICHARD KIMARO, RAHABA EUSEBIUS MVUONI, RAJAB SAID MANGARA, na watasindikizwa na  Meneja Masoko wa Airtel Bi UPENDO GILLIARD NKINITunatoa  pongezi kwa washindi wote walioibuka na zawadi mbalimbali  kupitia promosheni hii iliyodumu kwa muda wa miezi mitatu. Pia tunawapongeza wateja wengine wote walioshiriki katika promosheni lakini hawakushinda ikumbukwe kuwa hii ni bahati nasibu hivyo kila mtu anajishindia kwa bahati yake 
 
Nae  mshindi wa Promosheni hiyo Bw, Rashidi Kagombola alisema “ninafurahi sana kuwa mshindi wa mamilioni haya, kwa kweli namshukuru sana mungu kwa kuniwezesha kubadili maisha kwa haraka hivi, leo hii natoa ahadi kwa Airtel na watanzania wenzangu kuwa nitahakikisha nazitumia kwa uangalifu pesa hizi ili kukuza biashara yamgu ya samaki”
 
Promosheni MIMI BINGWA imekwisha huku jumla ya pesa taslim milioni mia tatu ishirini na nne 324 zikiwa zimekwenda kwa wateja toka mikoa na sehemu mbalimbali, vile vile jumla ya washindi wengine 35 wamepata zawadi ya nafasi yakusafiri na kwenda Uingereza katika jiji la Manchester na watalipiwa kila kitu ikiwa ni pamoja na gharama za malazi, usafiri, pamoja na gharama zote za kuandaa safari hadi kupatikana kwa hati ya kusafiria na VISA ya kwenda Uingereza na kushuhudia SOKA katika kiwanja cha OLD Traford cha Mabingwa watetezi wa ligi ya Uingereza.

MIYEYUSHO KUZIPIGA NA MUDDY MATUMLA APRIL 26

Promota Ally Mwazoa katikati akiwatambulisha mabondia Fransic Miyeyusho kushoto na Mohamed Matumla wakati wa kutangaza mpambano wao utakaofanyika April 26 katika ukumbi wa PTA Sabasaba.

Bondia Fransic Miyeyusho kushoto na Mohamed Matumla wakikumbatiana baada ya kukubaliana kuzipiga April 26 katika ukumbi wa PTA Sabasaba

Bondia Fransic Miyeyusho wakitunishiana misuli na Mohamed Matumla wakati wa utambulisho wa mpambano wao mbele ya waandishi wa habari Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Na Mwandishi Wetu
MABONDIA Fransic Miyeyusho 'Chichi Mawe' na Mohamed Matumla 'Snake JR' leo wamesaini mkataba wa kupambana april 26 katika ukumbi wa PTA Sabasaba 

Akizungumzia mpambano huo promota wa mchezo wa masumbwi nchini Ally Mwazoa amesema ameingia nao mkataba mabondia hawo kwa kuwa anajua wanaweza mchezo wa masumbwi na ni mafundi wa mchezo huo najua kuna watu wengi walitamani kudhamini mchezo huo lakini bahati imeniangukia mie

Mpambano uho utakaopigwa april 26 katika ukumbi wa pta sabasaba kutakuwa na mapambano mengine makali ya utangulizi ambapo mwana dada Lulu Kayage atamvaana na Halima Ramadhani siku hiyo kwa ajili ya kuhamasisha wanawake wenzao wajitokeze katika mchezo wa masumbwi

Baada ya kusaini mkataba huo bondia Miyeyusho alijitamba kuendeleza ubabe katika familia hiyo ambapo alisema atamchakaza kama alivyo mchakaza baba yake mdogo Mbwana Matumla ambaye amecheza nae mara tatu na kupigwa mara mbili ambapo mpambano wa mwisho ulikuwa na shamu shamu nyingi kila upande miyeyeyusho alibuka mshindi kwa point

Nae Matumla alijibu mapigo kwa kusema Miyeyusho anamuheshimu kwa kuwa yeye ni mkubwa kiumri ata hivyo atampa kichapo kikali kama alivyompatia mdogo wake Doi Miyeyusho ambaye mara ya kwaza alipigwa kwa K,O raundi ya pili DDC Keko na mara ya pili pia K,O ya raundi ya pili katika ukumbi uho uho uho wa PTA Sabasaba hivyo siwezi kushusha rekodi yangu kwa kupigwa na miyeyusho akitaka kujua mimi ni mkali zaidi yao amulize pia Nassibu Ramadhani ambaye nilimpatia kipigo kibaya sana na kunifanya ninyakue pikipiki ,       Mwazoa

Aliongeza kuwa ulizi na usalama wa mali zako ni wa huwakika hivyo familia nzima mnaweza kuja kushudia mpambano huo wa masumbwi bila shaka . 
 
Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi  kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile
Floyd Mayweathar,Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi
pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo vitakaokuwa vikitolewa na Rajabu Mhamila 'Super D' kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na kocha huyo kwa ajili ya kuamasisha