ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, December 3, 2014

PICHA TANO ADIMU NDANI YA BIHARAMULO MKOANI KAGERA.

Mwanafunzi wa shule ya msingi Msalabani iliyoko Wilayani Biharamulo akiwa katikati ya ramani ya Afrika Mashariki iliyochorwa kwa sanaa kupitia nyumba za konokono.
Taswira.
Ngoma hizi nilizozifuma kwenye moja ya shule za msingi wilayani Biharamulo zilinikumbusha ladha ya moja ya shule za msingi nilizopita enzi naskuli primary. Hinduki Primary School Malampaka wilayani Maswa mkoani Shinyanga.
Pikipiki ya Mwalimu mkuu chini ya mti wa kengele ya shule ya Msingi Mkunkwa iliyoko wilayani Biharamulo mkoani Kagera.
Kilimo kwa vitendo mashuleni.
Msalaba huu umedumu mpaka leo bila kuoza (najiuliza ni mbao gani hii) umekuwepo mahali hapa tangu mwaka 1932, enzi za ukoloni ukiwa kama kielelezo kilichowekwa na wamisionari cha barabara kuelekea Kanisa kuu la Jimbo  kijijini hapa. Kijiji kinaitwa Msalabani kipo wilayani Biharamulo mkoani Kagera nchini Tanzania.
Huu ni kama utalii vile...!!

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.