ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, December 26, 2014

KARIBU TENA HII LEO BOXING DAY, BAADHI YA PICHA ZA XMASS NDANI YA JEMBE BEACH 25 DEC 2014

'PAMOJA SANA' Mkurugenzi wa Jembe ni Jembe ambaye pia mmiliki wa 93.7 Jembe Fm Dr. Ndege akimtambulisha mwanamuziki Kidumu na bendi yake ya Bodaboda kwaajili ya kutumbuiza wakazi wa Mwanza katika sherehe ya Krismasi ndani ya Jembe Beach jijini Mwanza.
Aksante sana wana Mwanza kwa kujitokeza.
Usiku huu pia ulitumika kuitambulisha JJ Band aka Jembe ni Jembe Band ambayo kuanzia sasa itakuwa ikitumbuiza hapa.
Kiongozi wa JJ Band mbeleeeee.....!!
Muziki umekolea.....!!
Lady singer....!!
Hatariiii....!!
Kimenuka sasa mwendo ni Kusebenuka...!!
Hapa ndipo mziki unapikwa...!!
Hatariii....!!!
Ze nyomizzzz....!!
Penye kinu cha muziki 'Super sound master' Oxxy.
"The area na zile chomeX'
Karibu sana hii leo tufungue mazawadi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.