ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, December 3, 2014

KAMPUNI YA BRITAM YAONGEZA UWEPO WAKE KATIKA SOKO LA AFRIKA MASHARIKI.

Mkurugenzi wa Kampuni ya Insurence Business ya Britam, Stephen Wandera akizungumza muda mfupi baada ya kampuni hiyo kuungana na kampuni ya 
Real Insurence Dar es Salaam juzi.
Baadhi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya bima ya Real na Britam wakigongesha grasi baada ya kampuni mbili hizo kuunga pamaja katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam juzi. Picha na Jumanne Juma

PRESS RELEASE

KAMPUNI YA BRITAM YAONGEZA UWEPO WAKE KATIKA SOKO LA AFRIKA MASHARIKI.

Dar es Salaam…Kampuni ya Bima ya REAL Tanzania sasaimekuwa ni mojakatiya makampunimakubwarasmichini ya Kampuni ya Britamambayoinatoahudumambalimbali za kifedha. Hiiinafuatiakununuliwawa Kampuni hiyo ya Bima na Kampuni ya Britamkutoka Kenya.

Kufutiahatuahiyo Kampuni ya REAL itakuwa na wigompana wa kutoahudumaza bimazikiwemobima za Afya na Bima za maishaambazotayarikampuni ya Britamimekuwaikitoa kwa mudamrefukatikaukandahuu wa AfrikaMashariki. Muunganohuuutaboreshahuduma za bimanchini Tanzania naAfrikaMasharikiambayo kwa sasaBritaminanguvu ya kifedha, kiteknolojia na rasilimaliwatu.

Kufutiahatuahii, Britamsasainaongozakwaukubwa wa kijografiakuliko Kampuni zoter za BimaAfrikaMashariki, pia Kampuni hiyoinashikilianafasi ya pilikulingana na pato la ziada.

Mchakato wa ushirikiano na muungano wa Kampuni hizombiliumekuwaukiendelea kwa miezi kadhaasasana kufuatiwa na kupatakibalikutoka kwa mdhibiti wa Mamlaka ya Masoko na  Mitaji ya nchiniKenyana kutekelezwa na washirikikutokaBritam na REAL kwa kusaidiwa na Kampuni ya Usimamizi wa Kimataifa ya Mckinsey na washauriwengine.

“Kutokananamuunganowa Kampuni hizi mbili, uwepowetuumekuwa kwasehemukubwasana,” alisemaBwana Peter Munga, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa REAL na Britam Tanzania.

Bwana Mungaaliendeleakusemakwambamuunganohuonimojakati ya makampuni ya kutoahuduma za BimakatikaAfrikaMashariki, kwanisasa Kampuni hizozinatoahudumakatikanchi 7 tofautiambazo ni; Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda, Sudan Kusini, Malawi na Msumbiji.



Piaaliwahakikishiawamilikiwahisa, wauzaji, watoahuduma za bima na wadauwenginekwambawotewenyemikataba na Kampuni hizombilibadozitaendelakudumuhadimwishonimwamwaka na kila Kampuni itawajibika kwa madeniyeyotewanaodaiwa kwa kipindikilichobaki.
Kuunganakwa Kampuni hizombili ni fursa kwa Britamkuongezauwepo wake katikasoko la kitaifa na AfrikaMashariki na piakuongozasokokatikabiasharazoteambazoinazifanya.
Muunganowa Kampuni hizombilipiaunaonekanakamahatua ya kwanza ya kuimarishasekta ya Bima Tanzaniaambayoinaushindanimkubwa. Soko la Bima Tanzania lina zaidi ya makampuni 29 yanayofanya kazi katikasokohilo.
MuunganohuuinaiwezeshaBritamkutekelezamkakati wake we kupanuabiasharayake ya Bimanapiakutoahudumazinginembalimbalikatikamaeneomuhimu ya kijografiakama Tanzania ambayoyameonyeshauwezomkubwawa kukuwakiuchumibaraniAfrika.


Maelezo mafupikuhusu British-American Investments Company (Kenya) Limited
Britamnikampunitanzuinayoongozakatikahudumatofauti za kifedha na iliyokatikasoko la hisa la Nairobi Securities Exchange. Makampuniyaliyochini ya Britamyanamaslahi na vitegauchumikatikamakampunimbalimbalindani ya AfrikaMashariki.

Britaminatoahudumambalimbali za kifedha, za Bima,Bishara za Vitegauchumi,Ununuaji na uuzaji wa Nyumba, Utunzaji wa vitegauchumivyaBiashara na huduma za Benki.

Britaminazohudumatofautikama vile Bima za maisha,Bima za Afya na huduma za bima za mudamrefu na mfupi, huduma za pensheni, Uwekeji wa Hisa, Mifuko ya Hisa,Mipango na Uwekezaji, Uwekezji wa nje na Ndani na huduma za Pensheni ya uzeeni.

Kwa maelezo Zaidi tafadhalitembeleatovutihiihttp://www.britam.co.ke/

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.