ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, July 31, 2014

PICHA ZA EXTRA BONGO WALIVYO PAGAWISHA EID MOSI NDANI YA JEMBE BEACH MWANZA

Kiongozi wa Xtra Bongo Ally Chocky Mzee wa Farasi akiinadi album mpya ya Xtra Bongo ndani ya usiku wa burudani ya kusherehekea sikukuu ya Eid El Fitri uliofanyika Jembe Beach aka Skylight Beach Resort Malimbe Mwanza.
Xtra Bongo wakilishambulia jukwaa ndani ya Jembe Beach Mwanza katika kusherehekea sikukuu ya Eid El - Fitri ambapo kundi hilo lilisisimua mashabiki vya kutosha.
Dancer mahiri nchini Super Nyamwela (kulia) akiwaongoza wenzake kutoa burudani jukwaani.
Kona ya Mashabiki wakiserebuka.
Umesomeka.....
Bass guitar lilishikiliwa na jamaa huyu...
Kiongozi wa Xtra Bongo Ally Chocky Mzee wa Farasi (kushoto) akimtambulisha jukwaani Banza Stone (wa pili toka kushoto) wakati bendi hiyo ilipotoa burudani kwa wakazi wa jiji la Mwanza katika kusherehekea sikukuu ya Eid El Fitri uliofanyika Jembe Beach aka Skylight Beach Resort.
Sasa ni  wakati wa kuonyesha mautundu....
Hatariiii!!!
The Style....
Team Jembe.
Mbona kazi....
Hapo Jeh!!
Uwiiiiiiiii....uwaaaaaa!!!
Live.
Upande wa pili disco kama kawa, hivyo ulikuwa na uchaguzi wa kuchagua aina ya burudani unayoitaka, muziki wa Band au ngoma za hatari na disco la ufukweni toka Jembe Djz. Pichani ni DVJ K-flip.
Wadau wa Skylight beach resort wakiduarika...
Chungulia imo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.