ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, June 13, 2014

MASHINDANO YA NGUMI YA MEYA CUP KUANZA IJUMAA CCM KATA 15 TEMEKE

Kocha mkongwe wa mchezo wa masumbwi nchini Habibu Kinyogoli akifafanua jambo wakati wa upimaji uzito kwa mabondia.
Bondia Amir Shekhe akipima uzito kabla ya kushiliki mashindano ya meya cup yatakayoanza ijumaa katika ukumbi wa ccm kata 15 temeke kulia ni Lemmy Ngabo.
Bondia Titas kanje wa amana ilala akipima uzito kwa asjili ya kushiriki mashindano ya meya cup yanayoanza kesho katika umkumbi wa ccm kata ya 15 temeke jijini Dar es salaam. 
Mambondia wakipanga foleni kwa ajili ya kuonana na dokta kabla ya mpambano wa meya cup utakaoanza ijumaa katika ukumbi wa ccm kata ya 15 temeke dar es salaaam. picha nawww.superdboxingcoach.blogspot.com

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.