ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, June 27, 2014

KIDUMU AKIFANYA SOUND CHECK KWA SHOW YA LEO VUNJA JUNGU VILLA PARK.

Mhandisi wa Sauti (Sound Eng) wa Club Villa Park ya jijini Mwanza, Dj Chris akidadisi usikivu wa sauti ya muziki toka kwenye jukwaa la shughuli ya Vunja Jungu ndani ya Villa Park Mwanza jioni ya leo ambapo Kidumu na Bendi yake walikuwa wakifanya majaribio kabla ya kupanda jukwaani katika Mkali nani baina yao na Malaika Band ya Cristian Bella.  
Kidumu na wanamuziki wa kundi la Bodaboda Band wakiwa kwenye jukwaa kwa majaribio ya muziki jioni ya leo.
Mzigo utapigwa hapa usiku wa leo, je uko tayari kukosa?

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.