ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, June 14, 2014

COCACOLA YAPATA WASHINDI WENGINE 7 WA LUNINGA ZA KISASA KUSHUHUDIA KOMBE LA DUNIA.

Marco Masaka akiongea na waandishi wa Habari katika viwanja vya Cocacola jijini Mwanza wakati wa kutangaza washindi wa Tv bapa za shindano la Jionee mwenyewe Kombe la Dunia 2014 Brazil.
Kubebeka Japhet ambaye ni Training Manager wa Cocacola Mwanza akimkabidhi zawadi ya Tv Bapa aina ya Sony mshindi toka Sengerema Bi. Jacquline C Ngaiza.
Kubebeka Japhet ambaye ni Training Manager wa Cocacola Mwanza akimkabidhi zawadi ya Tv Bapa aina ya Sony mshindi toka Tabora Nzega johnson Kubakulija.
Kushoto ni Kelvin Matindiko ambaye ni Even Coordinator akimkabidhi Mussa Inano Chacha kutoka Mabatini.
Kushoto ni Kelvin Matindiko ambaye ni Even Coordinator akimkabidhi zawadi ya Tv Pambano Joseph magembe kutoka Sapiwi Bariadi. 
Kulia Meneja Masoko Kanda ya ziwa Marco Masaka akikabidhi zawadi kwaRevocatus Mwinamila kutoka Runzewe Bukombe mkoa wa Geita.
Kushoto ni Kelvin Matindiko ambaye ni Even Coordinator akimkabidhi zawadi ya Tv kwa Limbu Nghugulu Ilekebu kutoka Mkula Busega.
Marco Masaka akimtunukisha zawadi Bahame Erasto kutoka Chinfunfu wilaya ya Sengerema mkoa wa Mwanza.
 Ni picha ya washindi wa Tv Bapa pamoja na viongozi wa Nyanza Botling Co.Ltd
 
PICHA ZOTE  NA ZEPHANIA MANDIA.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.