ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, May 9, 2014

KHADIJA KOPA NA ABDUL MISAMBANO WATUA MWANZA ASUBUHI HII KWAAJILI YA SHOW YA BUZURUGA PLAZA HII LEO.M

SIKIA MPANGO MZIMA LEO PALE BUZURUGA PLAZA MWANZA. 
Malkia wa Taarab nchini Tanzania Khadija Omar Kopa akiwasili katika uwanja wa ndege wa jijini Mwanza asubuhi ya leo kwaajili ya kutoa burudani kwa wakazi wa Mwanza hii leo (Ijumaa) katika ukumbi wa Buzuruga Plaza Nyakato.
The Super Roxx Abdul Misambano akiwasili katika uwanja wa ndege wa jijii Mwanza asubuhi ya leo kwaajili ya kutoa burudani kwa wakazi wa Mwanza na vitongoji vyake kwenye usiku wa Mitikisiko ya Pwani katika ukumbi wa Buzuruga Plaza Nyakato jijini Mwanza.Kiingilio ni shilingi 10,000/=.
Vaa, Nukia, Pendeza kwani langoni kuna Red carpet kwaajili yako hivyo twataka picha za kunukia!!!

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.