ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, May 23, 2014

NDOVU SPOTLIGH NIGHT

Mwongoza maada wa usiku wa Ndovu Spotlight, Gloria Mangi (kushoto) akiongoza maada wakati wa mdahalo kwa wadau mbalimbali uliofanyika katika Hoteli ya Serena Dar es Salaam jana. Kushoto ni mmiliki wa website, Laura Lyabandi na Mkurugenzi wa Kampuni ya Vinjari, Andrew Mbona.
Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Fimbo Butallah (kutoka kulia), Meneja wa Bia ya Ndovu, Pamela Kikuli na Meneja wa Bia ya Castle Lite, Geofrey Makau wakifuatilia maada wakati wa mdahalo wa usiku wa Ndovu Spotlight uliofanyika katika Hoteli ya Serena Dar es Salaam jana.
Meneja wa kinywaji cha Redd’s, Victoria Kimaro (kutoa kushoto), Meneja wa Bia ya Castle Lite, Geofrey Makau, Meneja wa Bia ya Ndovu, Pamela Kikulina Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania(TBL), Fimbo Butallah wakifuatilia maada wakati wa mdahalo wa usiku wa Ndovu Spotligh tuliofanyika katika Hoteli ya Serena Dar es Salaam jana.
Baadhi ya Wadau wakifuatilia maada wakati wa usiku wa Ndovu Spotlight uliofanyika katika Hoteli ya Serena Dar es Salaam jana.
Baadhi ya Wadau wakifuatilia maada wakati wa usiku wa Ndovu Spotlight uliofanyika katika Hoteli ya Serena Dar es Salaam jana.
Mchekeshaji, Evance Bukuku (kulia) akichangia maada wakati wa usiku wa Ndovu Spotlight uliofanyika katika Hoteli ya Serena Dar es Salaam jana.
Meneja wa Bia ya Castle Lite, Geofrey Makau (kushoto) akiwa na wadau wakipata vitafunwa mara baada ya mdahalo wa usiku wa Ndovu Spotlight uliofanyika katika Hoteli ya Serena Dar es Salaam jana.
Mwongoza maada wa usiku wa Ndovu Spotlight, Gloria Mangi(kulia), mmilikiwa website, Laura Lyabandi (kushoto) na Mkurugenzi wa Kampuni ya Vinjari, Andrew Mbona wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya mdahalo wa usiku wa Ndovu Spotlight uliofanyika katika Hoteli ya Serena Dar es Salaam jana.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.