ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, April 18, 2014

ULINZI WAIMARISHWA SIKUKUU YA PASAKA MWANZA.

KAMANDA wa Jeshi la polisi mkoa wa Mwanza Valentino Mlowola akizungumza na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari jijini hapa (hawapo pichani), kuelezea jinsi jeshi lake lilivyo jipanga kuhakikisha suala la ulinzi na usalama linazingatiwa na kuimarishwa katika kipindi chote cha sherehe za sikukuu ya Pasaka mkoa wa Mwanza.

Pia Kamanda Mlowola alitumia fursa hiyo kuwaasa wananchi kwa kutoa ushirikiano. (BOFYA PLAY KUMSIKILIZA)

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.