ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, April 19, 2014

KARIBU CLUB JEMBE NI ZAIDI YA UTALII MWANZA

Samaki fresh toka ziwa Victoria wakuchoma, wakubanika, wakukaanga, na vyakula vya kila aina lipate jibu ndani  ya kiota kipya cha kitalii cha gharama nafuu mpaka ushangae Jembe ni Jembe aka Skylight Beach Resort Malimbe Mwanza.
Ni muda wa kupiga picha na samaki.
"This is Jembe Club" says Peter Fabian.
Crew ya vijana wa mjini ikiongozwa na mkurugenzi wa Lakairo Investment Co.Ltd Danny Lameck (kulia) ishatia timu hapa.
G akipata bupepo.....
'Represent'
Bustanini....na kaunta yenye full service.
Kama una karanga njoo kuna jiwe la kale la kusagia.
You see?
Jembe ni Jembe. 
On the top.
Vimiminwa vya kila aina.
Nyakati za usiku huu ndiyo muonekano.
Kama ni kuwochi football au matukio mbalimbali basi kaunta kuna bo-bo-booooonge la skrini!!!!!
Kwa mbaaali utaona......
Engo nyingine adimu....
Wenye boti zao kuna shortcut kutoka Malimbe Nyegezi hadi Mwanza town ni mwendo wa dakika 15 tu amini usiamini.
Kwa heriiiii....
Waleeeeeeee!!!!!
Matukio mawili makubwa kufanyika:-
JUMAMOSI :- Tarehe 19 April 2014 Fool Moon Party wasanii Joh Makini, Nikki wa Pili, G. Nako wanaounda kundi la Weusi kukisanukisha na yule mkali mwingine anayetamba na ngoma inayoitwa Kerewa namzugumzia Sheta, kiingilio ni shilingi 10,000/= tu!!

JUMAPILI :-Tarehe 20 April 2014 Easter Bonanza tutakuwa na Skylight Band, mchana watoto sh 3,000/=  wakubwa sh 10,000/= kisha badae usiku tena tukiwa na Skylight Band Part la Nguvu tu kiingilio sh 10,000/=.
nANI aTABaki hOmU?   

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.