ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, March 21, 2014

SKYLIGHT BAND INAKUFANYA UANZE WEEK-END YAKO KWA KUTABASAMU NI LEO NDANI YA THAI VILLAGE.

DSC_0302
Meneja wa Band Aneth Kushaba AK47 akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye uwanja wao wa nyumbani Thai Village Masaki jijini Dar huku akisindikizwa na Digna Mbepera pamoja na Winfrida Richard.
DSC_0313
Winfrida Richard na Hashim Donode wakisongesha burudani sambamba na Aneth Kushaba AK47 pamoja na Digna Mbepera.
DSC_0346
Mashabiki wakijimwaga na burudani ya Skylight Band ambapo kila Ijumaa wanapatikana pale Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0363
Aneth Kushaba AK47 akiburudika na shabiki wa Skylight Band.
DSC_0377
Pata picha burudani wanayoipata mashabiki hawa wa Skylight Band ambayo ni habari ya mujini kwa sasa..!!! Usipitwe njoo wewe na yule Ijumaa hii.
DSC_0371
Fursa ndio mpango mzima...njoo uonyeshe ufundi wako leo.
DSC_0401
Shake what'cha your Mama gave yaaa....!!! Wamejaaliwa mashalaah...
DSC_0414
Digna Mbepera na Winfrida pale waliponogewa burudani ya Bendi yao Skylight.
DSC_0397
Mzuka wa Aneth Kushaba AK47 pale burudani inapomkolea nae husindikiza mashabiki kwa style ya aina yake.
DSC_0393
Miziki ya Pwani ilihusika kama inavyooneka picha....Pale kati....!
DSC_0380
Mdau mkubwa wa Gerald Kilimo akishow love na Aneth Kushaba AK47.
DSC_0399
Winfrida na Petit Money wakipata Ukodak.
DSC_0340
Mdau Dagma (mwenye miwani) akiwa na marafiki ndani ya kiota cha Thai Village.
DSC_0300
Birthday Girl Mama Sabrina Chicago akilishwa kipande cha cake mupenzi wake Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village huku Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akishuhudia tukio hilo adhimu.
DSC_0432
Kutoka kushoto Petit Money, Claudi wa Maisha Club na Aneth Kushaba AK47 wa Skylight Band.
DSC_0424
Neema Mbuya na Winfrida Richard wakishow love.
DSC_0459
Joshua Ndege (katikati) na ndugu zake.
DSC_0461
Mdau Alois Ngonyani na flowers wa Skylight Band.
DSC_0464
We are Skylight Band Fans!

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.