ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, March 7, 2014

NMB WAJA NA LIPIA 30% PATA KITU KIPYAaaa!!

Yawezekana hujapata nafasi ya kusoma mabango yanayopatikana kandokando mwa barabara, lakini kwa ufupi ni kuwa Benki ya NMB hivi sasa inaendesha zoezi la kutoa mkopo kwa wateja wake walio au wanaohitaji kuwa wajasiliamali wa vyombo viwili vya usafiri, nazungumzia Bajaji (pikipiki za miguu mitatu) na Bodaboda (pikipiki) , ambapo unapewa mkopo na kukimiliki chombo chako cha usafiri ukilipia asilimia 30 ya gharama za manunuzi ya chombo kimoja wapo. 
Ni nafasi sasa kuchangamkia fursa hiyo ili kujiongezea mtaji.
Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0714150660 au 0765700500.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.