ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, February 27, 2014

ALICHOSEMA SHIBUDA HII LEO KATIKA BUNGE LA KATIBA: APINGA KURA YA WAZI.

SHIBUDA APINGA KURA ZA WAZI BUNGE LA KATIBA.
"Hapa hatukuja kwa maslahi ya kusema ya kwamba tukisigana tuondoke hapana. Hapa tumekuja kutoka na katiba"

"Nashauri tuachane na dhana ya uenzetu na si mwenzetu kwani zitazaa fitna ambazo zitazaa kusigana na kupotoka mwenendo wetu"

"Kukosekana na busara inayotanguliwa na hekima hii huwa inaibua maslahi ya kusigana na huibua fikra za kuzaa mikongamano ambayo haina maana"

"Tuhakikishe tunakuza upatanifu umoja na mshikamano kupitia kanuni zetu zinazotuongoza la sivyo nasikitika kwamba kura ya uwazi haijengi uaminifu wa kumpa mtu shurti ya maadili ya utiifu, kwa hiyo napendekeza mfumo wa kura za usiri ili kulinda amani na utulivu".

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.