ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, January 31, 2014

MING'ARO YA SKYLIGHT BAND HUANZIA IJUMAA.

DSC_0012
Divas wa Skylight Band wakiongozwa na Meneja wa Bendi Aneth Kushaba AK47 (katikati) kutoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar ambapo leo pia watakuwa pale pale kwenye uwanja wao wa nyumbani. Kulia ni Digna Mbepera na kushoto ni Winfrida Richard.
DSC_0028
Sony Masamba a.k.a Fally Ipupa wa Bongo (kulia) akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band huku akisindikizwa na Hashim Donode.
DSC_0105
Rappa Joniko Flower akifanya yake jukwaani huku Digna Mbepera na Sony Masamba wakionyesha umahiri wao wa kusebeneka.
DSC_0081
Muziki mzuri na watu wastarabu si pengine ni Skylight Band ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar kila siku za Ijumaa kuanzia saa usiku na kuendelea.
DSC_0111
DSC_0145
Winfrida Richard akifanya yake jukwaani huku akipewa sapoti na Digna Mbepera.
DSC_0155
Mheshimiwa Bundala kama kawaida yake ndani ya Vest.
DSC_0170
Kuwafundisha tuwafundishe sie halafu mtuzidi????.... Vijana wa Skylight Band wakitikisa jukwaaa.
DSC_0189
Sam Mapenzi a.k.a Sukari ya warembo akililiwa asipande jukwaani na mashabiki wake.
DSC_0130
Kijana mtanashati kutoka kundi la Wadananda akiwa amestarehe kwenye kiti kutegeshea mrembo wa kucheza naye mdaura hapo kati..!
DSC_0139
Mdau Gerald Kilimo akiwa na mfanyakazi mwenzake walikuja kupunguza stress za kazi na burudani ya Skylight Band.
DSC_0097
Wadau wa Skylight Band na Ukodak.
DSC_0206
Wadau wa Skylight Band na Msanii Hashim Donode katika picha ya ukumbusho.
DSC_0184
Mama Kisso wakipata Ukodak na Aneth Kushaba AK 47 a.k.a Mjasiriamali mpango mzima wa kupendeza kichwani unaweza kumwona yeye...!
DSC_0197
Aneth Kushaba akibadilishana mawazo na Mtangazaji wa kipindi cha Mama land Benny Kinyaiya wa Clouds fm.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.