ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, December 27, 2013

ILIVYOKUWA BURUDANI YA SKYLIGHT BAND NA X-MASS NDANI YA KIOTA CHA ESCAPE ONE.

DSC_1317
Vijana wa Skylight Band wakionyesha manjonjo yao kwa mashabiki wa Band hiyo wakati wa sherehe za X-MASS ndani ya fukwe za kiota cha Escape One walipotoa burudani ya kukata na shoka kwa mashabiki wao.
DSC_1332
Aneth Kushaba AK47 akifanya yake jukwaani huku akipewa back up na Joniko Flower, Winnie pamoja na Digna Mbepera.
DSC_1352
Mary Lukos akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band katika kusheherekea sikukuu ya X-MASS ndani ya kiota cha Escape One.
DSC_1361
Mashabiki wa Skylight Band mdogo mdogo wakijisogeza kwa dancing floor.
DSC_1378
Joniko Flower akiwasogeza mashabiki kwa dancing floor kuwarusha na gwaride la aina yake.
DSC_1382
Mguu wa kushoto mbele wa kulia nyuma....Ya chuma chuma nataka mukanda Ya chuma chuma.....!!! Hapo ni gwaride mwanzo mwisho...
DSC_1547
Mheshimiwa Bernard Bundala na mdau Emmanuel Francis wakionyesha umahiri wao katika kusakata sebene la Skylight Band kwenye sherehe za X-MASS.
DSC_1562
Hapo sasa twende kazi...!!
DSC_1578
Mdau Emmanuel Francis akifanya yake, njoo leo Thai Village akifundishe style hii mpya ya Skylight Band.
DSC_1402
Mashabiki wa Skylight Band wakisebeneka na burudani ya kukata na shoka.
DSC_1406
Rapa wa Skylight Band Sony Masamba akimpagawisha shabiki wake.
DSC_1410
Palinogaje wewe uliyekosa tunakupa pole tukutane leo pale Thai Village ufurahie Holiday yako na Skylight Band.
DSC_1412
Mpiga Solo wa Skylight Band Allen Kisso a.k.a Mundende akimchizisha shabiki na upigaji wake Gitaa.
DSC_1414
Mrs. Kisso akisebeneka na wifi yake Digna Mbepera.
DSC_1421
Kwa raha zao kwenye upepo mwanana wa Baharini ndani ya fukwe za kiota cha Escape One, Mikocheni jijini Dar.
DSC_1426
Watu weweeeee....!
DSC_1431
Mpaka chini...
DSC_1385
Daudi Tumba akifanya yake jukwaani, ni kiungo muhimu sana kwenye Live Band.
DSC_1464
Lubea wa Skylight Band akishow love na Super Model Neema Mbuya na mdau kwenye kiota cga Escape One.
DSC_1356
Mdau Alois Ngonyani akishow love na mashemeji zake.
DSC_1593
Mdau Fredy Tony akishow love......!!!
DSC_1308
Wadau wa Skylight Band kutoka Kijitonyama nao walijumuika na Band hiyo kusheherekea X-MASS ndani ya fukwe za kiota cha Escape One jijini Dar.
DSC_1399
Fans wa Skylight Band.
DSC_1605
Mdau William Malecela a.k.a LEMUTUZ akishow love na Mbabes mkareeeee ndani ya kiota cha Escape One.
DSC_1461
Mdau nambari moja wa Skylight Band Alois Ngonyani akishow love na Sam Mapenzi wakisherekea sikukuu ya X-MASS Escape One jijini Dar.
DSC_1514
Wadau Batani na Skylight Band ndani ya kiota cha Escape One kilichopo Mikocheni jijini Dar.
DSC_1613
Aneth Kushaba AK47 akishow love na shabiki wake.
DSC_1443
Hapo sasa...
DSC_1452
Watu wa ukweli kwenye muziki wa wastaarabu.....!!
DSC_1454
Wenye mbeleko haya wenye vibwaya mulele twende kazi.....!!!
DSC_1478
Mduara ulihusika pia....!!
DSC_1505
Shazi la kumwaga usiipimie Skylight Band....!!! tukutane leo jioni Thai Village Masaki tufurahi pamoja.
DSC_1489
Beautiful colours...
DSC_1586
 Skylight Band ni line ya wajanja tuuuu...!
DSC_1625
Winnie wa Skylight Band akipata Ukodak na wifi yake Mrs. Kisso.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.