ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, November 28, 2013

INTRODUCING FAHARI HUDUMA FROM CRDB BANK

 
 
 
Mpendwa Mteja,
Furahia huduma za benki popote uendapo ndani ya Tanzania. Mtembelee wakala wa FahariHuduma alie karibu yako na uweze kufanya miamala yako ya kibenki kwa haraka na wepesi. Kupitia wakala wa FahariHudumaunaweza kufanya miamala ifuatayo:
  • Kuweka fedha kwa kutumia kadi au bila kutumia kadi
  • Kutoa fedha kwa kutumia kadi au kwa kutumia huduma ya Cardless
  • Kufahamu salio la akaunti
  • Kupata taarifa fupi ya akaunti
  • Kulipia bili mbalimbali
  • Kupata kadi ya TemboCard Fahari
  • Kufungua akaunti
FahariHuduma ni mfumo wa kwanza nchini Tanzania wa utoaji wa huduma za benki kupitia mawakala unao kuhakikishia urahisi wa kupata huduma za benki jirani nawe kupitia wakala wetu aliechaguliwa.
Sasa huhitaji tena kutembea umbali mrefu ili kulifikia tawi la Benki ya CRDB kwa kuwa mawakala wetu wanapatikana mahali ulipo.

Jinsi FahariHuduma Inavyofanya Kazi


  • Miamala yote inayofanyika hutoa matokeo sahihi kwenye akaunti ya mteja muda huo huo.
  • Miamala yote huunganishwa moja kwa moja kwenye mfumo mkuu wa Benki ya CRDB
  • Kila muamala unapofanyika huambatana na risiti mbili ambapo moja hubaki kwa wakala na nyingine hupewa mteja.

Namna ya kuwa wakala
Ungana nasi kupitia
  
Wasiliana nasi
Simu: +255 759 001 230 | 0222136232
Barua pepe: customer-hotline@crdbbank.com
 
 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.