ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, November 28, 2013

BURIANI MSANIFU WA UHURU DUNIA MZOBORA.

Mwandishi wa siku nyingi na aliyekuwa Mhariri Msanifu (Sub-Editor) wa magazeti ya UHURU/Mzalaendo, Dunia Mzobora, amefariki dunia jana alfajiri katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, alikopelekwa usiku kwa matibabu baada ya kuugua ghafla shinikizo la damu.
 R.I.P Dunia.
BOFYA HAPA CHINI KUSOMA ZAIDI.
http://lukwangule.blogspot.com/2013/11/mhariri-uhuru-afariki-dunia.html

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.