ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, October 17, 2013

MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA MWANZA WANAVYO UZUNGUMZIA MCHEZO WA JUMAPILI.

Baadhi ya  wanachama wa kijiwe cha kahawa cha Bendera mbili mtaa wa Rufiji jijini Mwanza.
MSISIMKO wa mchezo wa watani wa jadi wa soka nchini Tanzania SIMBA NA YANGA, unazidi kuongezeka wakati tukiendelea kuyahesabu masaa yanayoteketea kuufikia mchezo huo utakao chezwa jumapili hii ya tarehe 20 October 2013 kwenye dimba kuu la Taifa jijini Dar es salaam.

Kutokana na sifa za wachezaji waliosajiliwa kwa timu hizo kwa msimu huu mpya ambao unazikutanisha timu hizo kwenye duru ya kwanza na kwa mara ya kwanza, kila shabiki amekuwa na lake la kujivunia,. 

Kwa kuliona hilo SPORTS XTRA ya Clouds Fm ilipata fursa kutembelea kijiwe maarufu cha kahawa kinacho kutanisha mashabiki wa ukweli wa SIMBA na YANGA kinachojulikana kwa jina la Bendera mbili kilichopo mtaa wa Rufiji jijini Mwanza na kuteta na wadau hao, 

Bofya play uwasikilize ... 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.